+254 718756944 | info@doctorngoso.com

UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI !!!

Image

Visa vya wizi wa watoto vimekua vikiongezeka kwa kiwango cha kutisha, ni maajuzi tu jirani yangu, Halima alimpoteza mwanawe kwa njia isiyoeleweka, inakisiwa kua mwana huyo aliyekua na umri wa miaka kumi na miwili alitekwa nyara na wanaume wawili alipokua anarejea nyumbani baada ya masomo ya madrasa katika msikiti mmoja pande za Eastleigh jijini Nairobi.

Tukio hilo liliripotiwa katika kituo chaa polisi cha pangani lakini kufikia sasa mwana huyo hajapatikana, Mamaye mwana huyo amekitembelea kituo hicho cha polisi bali maafisa hao wamekua wakimpa ahadi za kuweza kuwanasa majambazi hao lakini hakuna chochote kimefanyika, hakuna mtu yeyote amenaswa kwa tuhma za wizi wa mtoto huyo, Matukio hayo ya wizi wa wana, katika makaazi yetu mtaani Huruma jijini Nairobi yalinipa kiwewe, kwa kua nina wana wawili wa umri kati ya 10-12. Ambao nikiwa kazini hua wanasalia nyumbani peke yao kwa kua shule zilifungwa nchini kote kutokana na janga la korona linaloendelea kutikisa Nchi.

Kwa mapenzi yangu kwa watoto wangu, nilona sio vyema kuwaacha mtaani peke yangu kwa kua nilikua na hofu ya kuwapoteza kwa wezi wa watoto, hivyo niliamua kumwajiri kijakazi aweze kuwalinda nyakati ambazo hua siko nyumbani, Mjakazi huyo ambaye alikua mwenye asili ya waswahili toka pande za Mombasa, alionekana kua mpole kwa siku za kwanza, jambo ambalo lilipelekea miye kua na uaminifu wa asilimia mia moja kwake, Mara kwa mara ningempa ruhusa ya kuenda kuwatembeza wanawangu maeneo mbalimbali , ikiwemo bustani ya Uhuru jijini Nairobi, kwa sababu alikua na ukaribu sana na wana hao, walimpenda sana hata kuniliko miye mama mzazi. Mara kwa mara wangependa kua naye na nyakati nilipompa pumziko la kutokuja kazini, wangejawa na bugdha, na hata kudinda kuzungumza nani, hadi siku mjakazi huyo angerudi kwangu.

Mara kwa mara ningekua kwenye safari za kikazi, na muda mwingi sikuwa nyumbani hivyo kwa kua, nilikua nimemuamini na kumdhamini mjakazi huyo kwa kiwango kikubwa, sikua na tashwishi yoyote. Kwa kua nilijua kua mambo yalikua shwari jumbani mwangu, Siku moja niliweza kupata kazi ya kuenda kuunda mazao katika eneo la Kakamega, magharibi mwa nchi ya Kenya kwa muda wa wiki moja, jioni ya siku hiyo niliweza kuwasili nyumbani mapema ili niweze kuwaaga wana wangu na kuweza kumpa mjakazi wangu mashauri kidogo ya kuweza kuwashughulikia wana hao na pia wageni wangu wanaonitembelea mara kwa mara. Usiku huo kila mja aliyekua chumbani ikiwemo mume wangu, wana wangu na mjakazi wangu walikua wenye furaha sufufu, kufikia wakati ambapo nilipasua mbarika na kuwaarifu kua ningeweza kutokuja nyumbani kwa muda wa wiki tatu, niliweza kumpa masharti yote na kesho yake mida za mafungulia ng’ombe.

Nilirauka na kuweza kujipa shughuli, kuenda kushughulikia mambo yangu kazini, Kwa mda huo mara kwa mara, ningeweza kunena na wana wangu kwenye simu ya mjakazi huyo, alionekana mkarimu saana, bila kujua tabia zake, baadaye nilikuja kugundua kwamba wahenga hawakuweza kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliponena kwamba Usiweze kukidhamini kitabu kwa kutazama jalada lake, baadaye hua unakuja kujutia kama utakidhamini, kukinunua na kukisoma. Baada ya siku tatu nilipata kupigiwa simu na mume wangu kua, hajawaona wana wetu wawili na pia, mjakazi huyo hapatikani katika mawasiliano ya simu. Nilipata mshtuko mkuu, jambo ambalo lilifanya nieze kuikatiza safari hiyo nije nyumbani kumsaidia mume wangu kuwasaka wanahao, kisa hicho nilikiropoti katika kituo cha polisi, na nikapata ahadi kua jambo hilo wangeshughulikia jambo hilo kwa siku chache tuu, niliweza kutengeza vibandiko vya picha za wana hao, maeneo mbalimbali na kuweza kuuliza yeyote aliyekua amewaona aweze kuripoti kisa hicho kwa kituo cha polisi karibu, baaada ya yote hayo, niliweza kuupokea ujumbe mfupi kwenye simu yangu uliosema kwamba, ‘Twahitaji laki mia tano ili upate wana wako uhai. Niliripoti kisa hicho lakini polisi hawakutoa usaidizi wowote.

Mmoja wa raafiki yangu wa dhati aliponitembelea aliniarifu kuhusu madaktari wa kiasili kwa jina Daktari Ngoso ambao walikua na uwezo wa kuwanasa majambazi hao,nilimpigia daktari Ngoso simu, na kumweleza tukio lote.alifanya ganga ganga zake na kuniarifu niendelee na shughuli zingine wana ningewapata kwa muda mfupi, baada ya siku mbili, nilipata kupigiwa simu na Afisa wa polisi na kuarifiwa kua majambazi hao walijisalimisha katika kituao cha polisi na wana hao, majambazi hao walitiwa kizimbani kusubiri mashtaka, ila wana wangu niliwapata wakiwa kwa hali nzuri ya kiafya Namshukuru daktari Ngoso, kwa kuniwezesha kuwapata wana hao waliokua wamepotea.

Madaktari hao pia hutibu magonjwa kama Kisonono, Saratani ya mapafu na mengine mengi pia hutatua migogoro ya Ndoa, Mapenzi na mengine mengi, Tembelea wavuti www.doctorngoso.com pia waweza kupiga simu kwa Nambari; +254 718 756 944 ujumbe wa kielectroniki info@doctorngoso.com

More News

DOCTOR NGOSO SOLVES ALL LIFE CHALLENGES

I solve various problems such as catching thieves, finding a job, business attraction, luck, that is, winning a lottery, bringing back your wife or husband if they have gone to someone else, restoring your star if it has been damaged, fixing your home, quitting smoking and alcohol, treating witchcraft if you have been bewitched, opening your husband or wife sexually, protecting you from witchcraft, knowing the problem that troubles you, and...Read More

SOME BENEFITS OF THE MAGIC RING FROM DOCTOR NGOSO

  • The person who wears this ring gains luck and fortune in life.
  • It helps a person get promoted at work in any field.
  • Win lottery games.
  • This ring protects you when you are at home and even outside.
  • This ring also makes you attractive in front of people.
  • It can also bring you success in love.
  • This ring brings business attraction.
  • This ring helps a student remember answers during exams.
  • This ring protects you against dark forces.
  • This ring brings blessings and miracles to you.
  • Read More

    DO THIS TO GET A JOB IF YOU HAVE STRUGGLED FOR A LONG TIME

    Here on earth, there is no life without work; work is the foundation of life. It is through work that a person earns their livelihood (money). Work is a measure of dignity, work is respect, work provides for your needs, work gives you status. But the truth is that as the days go by, the difficulty of finding work increases. Technology, economic slowdown, and rapid population growth have led to fewer job opportunities until... Read More

    I HAVE BEEN BLESSED WITH THE GIFT TO HEAL USING TRADITIONAL AFRICAN HERBAL MEDICINES

    With over 35 years of experience, I treat and heal chronic diseases including epilepsy, male potency, diabetes, high blood pressure, pneumonia, tuberculosis, syphilis, gonorrhea, lung cancer, bone fractures, stroke, eye pain, toothache, stomach pain, back pain, bone pain, burning feet, poisoning, allergies, acne, loss of appetite, worms, blood cancer, snake bites, reproductive pain, menstrual pain, cholera, miscarriage, and...Read More

    DOCTOR NGOSO

    EXPERT IN CHRONIC DISEASES, PROBLEMS AND VARIOUS CHALLENGES

    Doctor Ngoso Newsletter

    Copyright © 2025 Doctor Ngoso

    Designed by Nyamakaka