+254 718756944 | info@doctorngoso.com

SAA 48 TU ILIVYOBADILISHA MAISHA YANGU BAADA YA MIAKA MINGI YA KUSOTEA AJIRA

Image

Kwa majina naitwa John. Naandika haya nikiwa kazini—ndiyo, nipo kazini—mahali ambapo kwa miaka minne ya mwisho nilikuwa nahangaika na kukata tamaa kabisa ya kufika.

Imagine ile hali ya kuamka asubuhi kila siku bila kazi, bila mwelekeo wa utaenda wapi, huku moyoni nikiwa nimejaa hofu, aibu, na huzuni ya kuishi kwa matumaini yaliyogeuka kuwa maumivu mazito moyoni mwangu. Mbaya zaidi nilikuwa nikiishi nyumbani kwa wazazi, huku masimango kama yote.

Huwezi amini ila huo ndiyo ukweli. Ilikuwa hivi, miaka 4 iliyopita baada ya kuhitimu chuo kikuu miaka minne iliyopita, nilikuwa na ndoto nyingi. Niliamini elimu yangu ingetosha kubadilisha maisha yangu na familia yangu.

Nilikuwa mtoto wa kwanza katika familia yetu, na pia kijana pekee wa kiume—na mzigo wa matumaini yote ya familia ni kama ulielekezwa kwangu. Wazazi wangu ni wakulima wa kawaida, ambao kwa miaka mingi walihangaika kunisomesha. Nakumbuka walivyokuwa wanakopa, kuuza mazao mapema kabla ya kuvuna, au hata kuuza mifugo ya nyumbani ili tu niende shule.

Nilipoingia chuo kikuu, nilijiwekea nadhiri kwamba: “Nitapambana na masomo, nitaibuka mshindi, na nitawafuta machozi wazazi wangu.” Na kweli, sikuwahi kuwaangusha. Kuanzia shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu, nilikuwa miongoni mwa wanafunzi bora kabisa. Walimu walinipenda, wanafunzi waliniheshimu.

Nilikuwa mfano wa kuigwa. Na kila niliporudi likizo, wazazi wangu walionekana kufurahia kile nilichokuwa nawapelekea naam matokeo mazuri. Lakini hatima ilinikataa. Niliomba kazi zaidi ya 50. Niliitwa kwenye interview zaidi ya mara 15. Nilivaa vizuri, nikajibu maswali kwa kujiamini, lakini mwisho wa siku nasikia: “Tutakupigia simu.” Lakini hakuna chochote kinachotokea wala simu zenyewe sikuziona.

Nilipoangalia maisha ya marafiki zangu, wengi walikuwa wameajiriwa na wengine wameanzisha biashara. Walau wao, walikuwa na maisha yenye mwelekeo. Mimi, nilibaki kwenye kivuli cha matumaini yaliyozimika kabisa. Sikuwa na mtaji, sikuwa na kazi, na sikuwa na pa kuanzia. Wakati mwingine nilijiona sifai yani kama dunia imenikataa kabisa. Ilikuwa ngumu sana kuwaeleza wazazi wangu hali halisi wakanielewa, wengi waliona mimi tu nachagua kazi labda zenye mshahara mkubwa zaidi ndiyo maana ofisi nyingi zilinikataa lakini ukweli siyo.

Walikuwa wakiniuliza mara kwa mara, “una muelekeo gani?” Na mimi niliendelea kusema, “Bado naendelea kupambana.” Huku ndani ya moyo nilikuwa tayari nimekata tamaa kabisa. Siku moja, nikiwa mtaani nilinunua gazeti—siyo kwa sababu nilikuwa na matumaini, ila kwa mazoea tu.Mimi huwa napenda sana kusoma soma magazeti. Nikakutana na tangazo dogo tu pembeni likisema: "Je, Unahitaji kazi? Unataka kupandishwa cheo? Wasiliana na Dkt. Ngoso – kwa namba +254 718 756944.

Anasaidia kutatua vikwazo vya ajira na mafanikio yote maishani, popote pale ulipo duniani kwa njia rahisi zaidi." Kwanza nilitaka kulipita kwakujua tu hawa ni matapeli tu. Lakini kwa dhamira na ujumbe ule ni kama ulinigusa kwa namna fulani. Lakini kitu fulani ndani yangu kilinisukuma. Labda kwasababu yakutaka kujaribu pia si unajua ukikata tamaa na njia zote binadamu huwa tunajaribu njia tofauti tofauti, niliamua kuichukua ile namba na kuwasiliana naye kwa njia ya Whatsapp kwasababu ni namba ya Kenya.

Niseme tu ukweli... Nilipokelewa kwa sauti rafiki, tulivu hivi na yenye upendo. Nilijieleza. Niliwambia kuhusu elimu yangu, familia yangu, na jinsi maisha yalivyonikaba na namna ninavyohangaika sana kupata kazi. Walinielekeza hatua kadhaa za kuchukua. Niliambiwa nitulie, na ndani ya saa 48, nitapata majibu. Nilifuata maagizo. Sikuelewa sana kwa nini ilikuwa ni hatua hizo—lakini niliamua kuamini. Na kweli, ndani ya saa 48, nilipokea simu kutoka shirika moja la serikali ambalo niliwahi kuomba kazi takribani miezi 8 nyuma na kufanya usahili kabisa lakini sikupataga mrejesho wowote.

Basi, waliniambia, “John, tunahitaji uanze kazi mara moja.” Kwanza nilikaa kimya kwa muda kwenye simu bila kujibu chochote. Machozi yalianza kunitiririka. Hivi sasa maisha yangu yamebadilika sana na ninafuraha sana kutimiza yale niliwaahidi wazazi wangu.. Leo hii nina kazi nzuri, ya heshima. Wadogo zangu wanasoma shule nzuri. Wazazi wangu wanaishi kwenye nyumba nzuri—ndiyo, niliwajengea. Na mimi... nimekuwa mtu mpya mwenye matumaini tena.

Wakati mwingine, tunapojaribu kila njia za kawaida, tunahitaji kuacha kiburi na kujaribu njia zisizo za kawaida. Nilifikiri mambo kama haya ni utapeli, ni maigizo, ni hadithi za vijiweni. Lakini kwa sababu nilikubali kujaribu, maisha yangu yalibadilika. Kuna watu wanabeba misaada kwenye hatma tunazouhitaji, lakini tunawapuuza kwa sababu hatuwaamini. Nisingepiga ile simu, nisingekuwa mahali nilipo leo. Kama wewe ni kama nilivyokuwa mimi—umepigana, umehangaika, na kila mlango ni kama umefungwa—basi tambua kwamba kuna milango mingine haifunguki kwa mikono, bali kwa imani.

Naamini sasa, kwa dhati kabisa: bahati haiji kwa kelele, huja kimya kimya pale mtu anapoamua kukubali kusaidika. Kizuri kula na nduguyo, wasiliana na Dr. Ngoso namba zake ni +254 718 756944. Anawasaidia watu kutoka popote pale ulipo duniani, na bila kulazimika kumfuata alipo. Ukiwa Tanzania, kenya, Uganda, Marekani, Ulaya yote au popote pale wewe mchecki tu atakusaidia.

Further News

READ THIS ARTICLE TO KNOW A BIG SECRET!

Having wealth and money is very wise, especially if you have reached the stage of having a family. Although money is not something you pick up from the street, there are ways you can open paths to earning money without struggle and without stealing from anyone....Read More

A RING THAT BRINGS PEACE TO MARRIED COUPLES IN THEIR HOME

There is no joy in life, especially in relationships, like loving someone who loves you back. You meet a person who shows you true love to the extent that they start wondering where you have been all this time. Doctor Ngoso enables all of this to happen. How does he do it? The answer is by wearing this ring of peace and love always...Read More

HOW TO HAVE YOUR HUSBAND UNDER YOUR CONTROL

The act of divorce is something that happens frequently in our societies. Separation from your loved one is caused by misunderstandings between the two parties involved. The question is, how long have you lived with that loved one? What will you lose if you separate from your loved one? Once you get the correct answers, you will realize that relationships have great meaning in human life. You will also understand that the act of separating from your loved one is something that gives you a wound in your heart that will never heal. It hurts a lot! The solution is... Read More

DOCTOR NGOSO MULTIPLIES BOTH MALE AND FEMALE STRENGTH

Doctor Ngoso multiplies both male and female strength with natural, herbal remedies rooted in traditional knowledge. Known for harnessing the power of indigenous herbs, Doctor Ngoso offers solutions that enhance vitality, sexual health, and overall well-being for both men and women. In African traditional medicine, many plants have been used for centuries to address sexual health issues such as impotence, low libido, and fatigue. Doctor Ngoso’s remedies often include ingredients like Mboko, Citropsis articulata, Cola acuminata, and Mondia whiteii—herbs acclaimed for their aphrodisiac properties and ability to improve stamina and reproductive health. For men, these herbal treatments help improve erectile function, increase sexual desire, and boost energy levels, addressing conditions that can affect male productivity and family stability. For women, the same herbs support hormonal balance, enhance sexual pleasure, and build endurance, promoting healthier intimate relationships. Preparation of these herbal remedies involves traditional methods such as boiling, pounding, or infusion into teas, often combined with local beverages like fermented milk to enhance potency. This approach combines natural ingredients and cultural wisdom to offer a holistic solution tailored to the needs of the body and spirit. Doctor Ngoso’s approach is not only about physical health; it touches on mental and emotional well-being by fostering greater connection and harmony between partners. The promise of these natural remedies is the restoration of strength and vitality for both men and women, empowering couples to enjoy stronger, more fulfilling relationships...Read More

DOCTOR NGOSO

EXPERT IN CHRONIC DISEASES, PROBLEMS AND VARIOUS CHALLENGES

Doctor Ngoso Newsletter

Copyright © 2025 Doctor Ngoso

Designed by Nyamakaka